#usafi
Waumini wa kanisa la waadventista wa Sabato, pamoja na waislamu siku ya jana Tarehe 23/3/2024 walishiriki zoezi la USAFI wa pamoja katika eneo la soko la Mwaloni pamoja na Magomeni- Kirumba. "Dini mbalimbali, amani na Upendo" kauli mbiu iliyowaunganisha kushiriki huduma za kijamii.
Synes godt om
Kommentar
Del
Nyanza Adventist College
Slet kommentar
Er du sikker på, at du vil slette denne kommentar?